Quantcast
Channel: Entertainment – Ghetto Radio
Viewing all articles
Browse latest Browse all 5595

Ali Kiba Speaks out after artists Ditched his record label

$
0
0

Kings Music records boss Ali Saleh Kiba has broken his silence following a recent exodus witnessed from his label.
Ali Kiba said that the two artistes only informed him of their decision to leave hours before making it public.
“Walinifuata jana usiku saa 8 kasoro, wakaniambia walichotaka, nikawaambia kila la kheri. Saa 10 wakapost kwamba wamejiondoa kwenye Label,” he said
According to Ali Kiba, the two artists were not bound by a contract because of their relationship to him.
Kiba said he holds no grudge with Cheed and Killy despite spending huge amounts of cash on their careers.
He maintains that he chooses to see it as his way of giving back to the society.
“Ni kweli niliwekeza pesa nyingi kukuza careers zao, kwangu nilikuwa naona kama nawasaidia wadogo zangu wa damu. Sikuwahi kuwaza kuwafunga na mikataba kwa namna ambavyo tulikuwa tunaishi. Hizo pesa zilizotumika ni sadaka. Nawatakia kila la kheri popote waendapo,” added Kiba
On Tuesday Kings Records signees Cheed and Kelly shared similar posts online revealing that they are no longer signed under the label.

“Naitwa Ally killy Omary almaarufu kama killy nSet ikijulikana kama msanii wa @kingsmusicrecords……… napenda kuwajulisha fans wangu watu wangu wote waliokuwa wakisupport mziki wangu na wanaoendelea kussuport kazi zangu na hata wasiosupport pia ni kwamba kuanzia leo hii napenda kutamka kuwa mimi sio tena msanii wa @kingsmusicrecords nimeamua hili kwa akili yangu timamu kabisa bila kushawishiwa na mtu wa aina yeyote ile na sijatumia kilevi chochote kile ni maamuzi yangu tu binafsi na ni kwa ajili ya muendelezo wa mziki wangu.Alikiba amekuwa ni mtu muhimu sana kwenye maisha yangu amekuwa ni mtu ambae amenionyesha njia na kuniaminisha mimi pamoja na mziki wangu mbele ya jamii Inshallah mwenyezi mungu amlipe kwa kila alichonifanyia na kujitolea kwa ajili ya mziki wangu namshkuru sana sana sana nasitoacha kumshkuru siku zote za maisha yangu naumia 😭😭😭ila sina budi @officialalikiba nakupenda sana my brother nakupenda mnooo na unajua hilo,cha zaidi napenda nikushkuru kwa kunielewa nikiwa kama mdogo wako bado nahitaji baraka zako bado ntahitaji support kutoka kwako kwa namna moja ama nyingine ama kwa kile ambacho kitakuwa na umuhimu kuwa supported na ningeomba pia uniombee dua safari yangu iwe njema na yenye mafanikio popote pale ntakapokuwa as long as najua hatujaachana kwa ubaya na wala hatujawahi kuwa na ugomvi labda NO.Pia ningependa kuwashkuru waliokuwa wakisimamia kazi zangu ili ziweze kuwafkia kwa haraka mashabiki zangu na kuweza kufika kwa haraka kwenye media tofauti tofauti nazungumzia managers wangu @beingaidancharlie @suleshsulle @rehemavisuallab @esilovey1 nawapenda sana nashkuru sana kwa time yenu kwa yote mazuri mlioweza kunifanyia sitoweza kusahau nyakati zote tulizopitia bado nyinyi mtabaki kuwa watu muhimu kwenye career yangu.Love you all ❤❤❤ asanteni sana 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾” said Killy.

The post Ali Kiba Speaks out after artists Ditched his record label appeared first on GhettoRadio 89.5 FM.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 5595

Trending Articles