Quantcast
Channel: Entertainment – Ghetto Radio
Viewing all articles
Browse latest Browse all 5579

Ali Kiba’s record label Kings Music suffers major blow

$
0
0

Bongo star Alikiba’s record label King’s music has suffered a major setback after two of its promising signees quit the label.
The two signees Cheed and Killy revealed that they have decided to call it quits from the label without giving much explanation.
On Tuesday, both Cheed and Killy put up similar posts on social media announcing their exit from King Music over what they termed as protecting their music career.
The two artiste did not reveal where they are headed but insisted that the decision to part ways with King’s Music was solely their own.
Naitwa Ally killy Omary almaarufu kama killy nSet ikijulikana kama msanii wa @kingsmusicrecords……… napenda kuwajulisha fans wangu watu wangu wote waliokuwa wakisupport mziki wangu na wanaoendelea kussuport kazi zangu na hata wasiosupport pia ni kwamba kuanzia leo hii napenda kutamka kuwa mimi sio tena msanii wa @kingsmusicrecords nimeamua hili kwa akili yangu timamu kabisa bila kushawishiwa na mtu wa aina yeyote ile na sijatumia kilevi chochote kile ni maamuzi yangu tu binafsi na ni kwa ajili ya muendelezo wa mziki wangu.Alikiba amekuwa ni mtu muhimu sana kwenye maisha yangu amekuwa ni mtu ambae amenionyesha njia na kuniaminisha mimi pamoja na mziki wangu mbele ya jamii Inshallah mwenyezi mungu amlipe kwa kila alichonifanyia na kujitolea kwa ajili ya mziki wangu namshkuru sana sana sana nasitoacha kumshkuru siku zote za maisha yangu naumia 😭😭😭ila sina budi” reads Killy’s post in part

The singers went ahead to thank their boss Ali Kiba for being an integral part of their music careers.
“@officialalikiba nakupenda sana my brother nakupenda mnooo na unajua hilo,cha zaidi napenda nikushkuru kwa kunielewa nikiwa kama mdogo wako bado nahitaji baraka zako bado ntahitaji support kutoka kwako kwa namna moja ama nyingine ama kwa kile ambacho kitakuwa na umuhimu kuwa supported na ningeomba pia uniombee dua safari yangu iwe njema na yenye mafanikio popote pale ntakapokuwa as long as najua hatujaachana kwa ubaya na wala hatujawahi kuwa na ugomvi labda NO.Pia ningependa kuwashkuru waliokuwa wakisimamia kazi zangu ili ziweze kuwafkia kwa haraka mashabiki zangu na kuweza kufika kwa haraka kwenye media tofauti tofauti nazungumzia managers wangu @beingaidancharlie @suleshsulle @rehemavisuallab @esilovey1 nawapenda sana nashkuru sana kwa time yenu kwa yote mazuri mlioweza kunifanyia sitoweza kusahau nyakati zote tulizopitia bado nyinyi mtabaki kuwa watu muhimu kwenye career yangu.Love you all ❤❤❤ asanteni sana 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾” Killy added
Cheed and Killy were among the five musicians signed under Alikiba’s record label barely a year ago.

The post Ali Kiba’s record label Kings Music suffers major blow appeared first on GhettoRadio 89.5 FM.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 5579

Trending Articles