
WCB manager Salaam SK has finally broken his silence on why he ignored former WCB signee Harmonize during the burial of Babu Tale’s wife.
Speaking in an interview with Refresh, Salaam said he has no bad blood with Harmonize and people only assumed he hates Harmonize after he exited WCB.
“Mimi sikuwa na tatizo kabisa na Harmonize kwa sababu nishaeleza mara mingi kwamba mtu wa kwanza kumpeleka Harmonize Nigeria ni mimi, UK ilikuwa ni mimi na sehemu zote nilikuwa naenda nafanya kazi naye bila tatizo lolote,” Salaam said
Salaam further revealed that since Harmonize’s exit from WCB they have met on several occasions but the former WCB signee has never once said hi to him.
He then insisted that he was not going to pretend to greet Harmonize this time round just because they were in public and people are watching.
“Nadhani tatizo lilikuja kwa watu ambao wanaweza kusema walivyoona lile tukio lilitokea katika mazishi wakachukulia Sallam anamind kwa sababu kaondoka kwenye label. To clarify that, Harmonize hakuwai kunisalimia kama miaka mitatu iliyopita toka alikuwa WCB kwa hiyo sikuona umuhimu way eye kuja kunipa mkono pale siku ile kama ashawai kuniruka sehemu kibao tu. Nishakutana naye airport akaniruka, nishakutana naye benki akaniruka, ofisini ashaniruka maranyingi, tulienda kwenye show Oman, akaniruka. Kwa hiyo sikuona umuhimu siku ile kwa nini tudanganye umma. Siku zote nasemaga mi sio mnafiki,” he said
The post Salaam SK finally speaks out on why he snubbed Harmonize appeared first on GhettoRadio 89.5 FM.