
Sauti Sol’s Bien-Aime Baraza got married to his fiancé Chiki Kuruka in March this year and fans have been eager to have a glimpse of the couple’s big day.
Turns out those anxious to see the photos will have to forget it because the couple has vowed to never share their big day on social media.
Speaking in a recent interview, Bien-Aime said that he had a simple wedding at the attorney general’s office then hosted a small group of friends.
He further added that the day was special to both him and his wife and as such they have chosen to hold the day dear to just them.
“Hizo picha sijaziweka wazi kwa sababu, Harusi yangu first of all haikuwa harusi ya Kawaida. Nilienda kwa AG, na after kwenda kwa AG nilifanya tu lunch ndogo nikainvite tu marafiki zangu wa karibu tukala lunch. Hiyo vibe ambayo ilikuwa hapo ile siku, ilikuwa the happiest day of my life, sijapata kufeel hiyo kitu siku nyingine, pahali pengine popote. Na nikipiga picha niwekee mtandaoni, mtu ambaye anaangalia hiyo picha haelewi circumstances, haelewi contexts ya kwa nini watu wamevaa vile wamevaa. Haelewi mbona hii harusi haina Bibi harusi mwenye amevaa nguo sijui inakaa aje. Haelewi mbona Bien hajavaa suti” said Bien Aime Baraza
Bien further added that he is not going to give online critics the chance to poke holes at his special event.
“Sitaki kupatia watu wajinga nafasi ya kupeana maoni yao kuhusu Harusi yangu. Kwa hivyo nikajiwekea hiyo siku, ndo nisijiharibie hiyo siku na comments za watu. Staki ufala, mimi vitu zangu ni vitu zangu na nilienjoy sana hiyo siku. Nikiweka huku njee watu waanze kuweka comments zao, mimi hukuwa mtu ambaye na-catch feelings Haraka sana. Nitajipata natukanana na watu huko. Watu wako na vitu mingi kwa vichwa zao vile mimi nafaa kuishi maisha Yangu, but hii ni yangu na mimi ndo nitadictate. Wasahau hiyo mamabo hakuna picha wataona” he added’
The couple who’ve dated for close to five years tied the knot on March 6th 2020.
The post Here’s why you will never see Bien and Chiki’s wedding photo appeared first on GhettoRadio 89.5 FM.