Quantcast
Viewing all articles
Browse latest Browse all 5668

Aslay speaks out after accusations of beating baby mama

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bongo star Aslay has been forced to clear the air after word went round that he had attacked his baby mama Sonia Noshe after an argument.

In a long online post, Aslay called out vlogger Eric Shigongo and Tanzania’s Global online for conspiring with his baby mama to tarnish his name.

“Nimesikitishwa sana na vitendo vya kupangwa, vyenye nia mbaya dhidi yangu vinavyoendelea. Inasikitisha zaidi, Media (Online Media) inapojiingiza kwenye michezo michafu ya hovyo kwa faida nisizojua (yaweza kuwa wamepewa pesa au wana sababu zao nyingine). #GlobalOnline wamenikosea sana, sijui mtu anayeheshimika kama #EricShigongo anawezaje kuajiri watu wasio na weledi, wakaenda kushiriki kwenye habari za uzushi namna hii tena za kupangwa. Jioni ya leo wamesambaza video ya kupikwa, ikidai kwamba eti mimi nimempiga Mzazi mwenzangu (Sonia). Ni habari ya kizushi mno, sijamgusa kwa namna yoyote,” he said

Aslay also revealed that after the news went round, he called Sonia to find out what happened and she admitted that she had been approached by people who convinced her to speak negative of her baby daddy.

“Ninachokifahamu kuna watu walifika nyumbani kwangu na kuanza kufanya fujo kwa sababu zao, pengine ilikuwa kunilazimisha kufanya vitendo vya ajabu kwa hasira wakimtumia Sonia, na kumshawishi aseme uongo. Nashukuru Mungu sikufanya kitu chochote kibaya. Nilimpigia Sonia kuuliza nini kimetokea, mwenyewe anashangaa japo anakiri wapo watu wanaomshawishi kuongea uongo mwingi kuchafua jina langu. Sitaongea mengi, najua ukweli utajulikana tu. Kinachosikitisha sana kwangu na kwetu kama jamii, ni jinsi vyombo vya habari vinavyoweza kutumika kusambaza uongo, chuki na kuharibu majina ya watu na biashara zao. Walioko nyuma ya michezo hii michafu tunawafahamu, na wao wananifahamu, wakati utawambua, NA MUNGU PEKEE NDIYE SHAHIDI WA KWELI. Asanteni,” he added

Sonia had alleged that Aslay beat her after an argument ensued when she called him out for neglecting their 2 month old child.

Sonia later cleared the air on an interview with Milard Ayo revealing that Aslay did not lay a hand on her.

The post Aslay speaks out after accusations of beating baby mama appeared first on GhettoRadio 89.5 FM.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 5668

Trending Articles