Quantcast
Channel: Entertainment – Ghetto Radio
Viewing all articles
Browse latest Browse all 5577

Anerlisa Muigai and Benpol call it quits? He speaks

$
0
0

For the past few days there was word doing rounds that Tanzanian singer Benpol and his Kenyan fiancé Anerlisa Muigai have parted ways.

Speaking at a recent interview, Ben Pol addressed the alleged breakup with Anerlisa Muigai saying that the allegations are false.

Speaking in an interview, the singer said that the allegations started after he deactivated his Instagram account.

Ben Pol maintains that he had taken time off social media to be with his family.

The singer deactivated his account leaving many believing that his girlfriend had unfollowed him on social media and that there were issues in their relationship.

“Zile Vuguvugu za kugombana zilitokea kuna siku kama nne ama tano ambazo mimi nilideactivate Instagram yangu. Nilikuwa tu nataka zile low times na familia, mamangu na mtoto unajua. Kwa hiyo sasa zile siku ambazo nilikuwa nime deactivate Instagram yangu wajua ukideactivate Instagram mtu aliyekufollow unapotea pale kwenye following zake. Hata kwa yeye mpenzi wangu amefollow kama watu watatu nikuwa mmoja wapo kwa hiyo nilipodeactivate Instagram, nikapotea pale kwenye following yake. Watu wakawa wakienda wanakuta amemunfollow Ben, watakuwa wamegombana. Wakija kwangu wanakuta hakuna Instagram aah hapa kutakuwa kuna moto umewaka lakini mimi nilikuwa tu nimeamua kuenda off social media. So hata zile walivyokuwa wanaandika watu, blogs kimenuka huko, tulikuwa tunatumiana tunaangalia nikasema mama yangu kwani ndio watu wanasubiria hii kitu ama vipi. Ndio baadae nikarudi Instagram maisha yakaendelea,” he said

 

The post Anerlisa Muigai and Benpol call it quits? He speaks appeared first on GhettoRadio 89.5 FM.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 5577

Trending Articles