
Bongo star Rayvanny has denied allegations that he is set to ditch Wasafi Records.
The music power house has been the topic of discussion with many people citing a possible mass exodus.
Speaking to journalists, Vanny boy said it is too early for him to start thinking about exiting the label.
The singer says Wasafi has what it takes to elevate his career to the international level.
Vanny Boy who has been at Wasafi for three years has praised the leadership saying they turned him into a star.
“Kwa saa hizi bado nahitaji kudeal na team yangu. Ingawa nina management yangu kama mimi, Manager wangu, ma bodyguard, Producer, yaani watu wangu ambao nafanya nao kazi ambao sometimes naweza kuwa nawapa mimi hela, Lakini Wasafi nawahitaji kwa nafasi kubwa sana. Wao wanaplay part kubwa sana kwangu mimi. Nina miaka mitatu tu sahizi ,nikianza mbwembwe zakujidai ati nataka kufanya vitu vyangu najua nitakwama. So still nahitaji mawazo ya ofisi, na still nahitaji kufanya vitu vingi na ofisi” he said
The singer added that he will work with the record label until the time they will let him go.
“Ikifika time ofisi yenyewe itaniambia imefika hatua ambayo unaweza kufanya vitu vyako mwenyewe. Sio mimi niwafate niwambiee eti nataka kufanya vitu pekee yangu. If ofisi bado inanihitaji mimi bado niko ofisini. Unajua nyumbani baba ndo anamwambia mtoto sasa umekua. Ingawa sahizi naweza fanya vitu vyangu lakini nahitaji ofisi ndio nifike mabli Zaidi. Sikuwa hapa wakati naanza na wamenileta hapa nilipo nab ado wananguvu za kunipeleka mbali na naamini uongozi wangu utanipeleka mbali. Focus yangu ni kufanya kitu ambacho ni bora na haina haja kusema nataka kujisimamia mwenyewe” he added
The post Rayvanny refutes Wasafi Records Exit Allegations appeared first on GhettoRadio 89.5 FM.