Clik here to view.

By Annette Amondi
Clik here to view.

Singer Otile Brown and his estranged lover Vera Sidika are back at pointing fingers at each other.
The socialite cum business woman responded to a fan who asked if her beauty parlor was shut down.
“I was told that some ex was spreading these rumors. They wish. NEVER closed at all. Only on Christmas Day. People like it when they see u fall. So even when u ain’t falling they’ll force others to believe u have,” said Vera
Clik here to view.

Otile has since responded to the allegations urging the sassy Vera to focus on her growth rather than constantly talking about him.
“Kuna watu watadanganya ili kutengeza urafiki .. unanijua sinaga roho mbaya ..nishakosana na kuchukiana na watu ila sijawai mtakia mtu afeli kwenye maisha mana huo ni ushetani unapomuombea mtu asipate ata kula .. sikufunzwa ivo kabisa… Tofauti yangu na wewe ni kua unaniombea mabaya na kunisema vibaya kila kutwa kwenye group yenu ya WhatsApp wakati mimi mtulivu sana” he wrote in part
Otile went on to tell off Vera for talking negatively about him saying that it only paints a bad picture about her.
“unapowashawishi watu kua mimi nimbaya kitabia ata kimaisha wakati sivyo ,watu wanakuchamba wewe kua vipi uka wai kua kwenye mapenzi na mtu kama mimi..kwa hivyo ata wewe thamani yako pia inashuka..usiishi kufuraisha watu hautawai enjoy maisha wala kua na furaha mana hao wanaishi maisha yao wakati wewe unajitahidi kua furahisha” he added
The singer also stressed that he has a lot he would like to say and to defend himself but he chooses to remain silent.
“Ndio mana nimenyamaza na mengi ambayo yana nichoma moyoni na ningependa kuya sema nakujitetea ila najikaza mana ni baraka unapomfichia mtu uchi wake kwa hivyo ni heri nimpendeze Mwenyez Mungu kuliko Instagram.. Maisha yenyewe mafupi kama hatupendani basi tusikwazane na kusemana kila kutwa kila mtu afate lake na maisha yaendelee .. #BadMan#wegotnothingbutlove”he said
The post Otile Brown, ex lover Vera Sidika back at it again appeared first on GhettoRadio 89.5 FM.