

The singer said that his mum had adviced him to quit music but he could not bring himself to do it.
According to his mother, the Tanzanian rapper continues to risk his life if he releases controversial songs that got him in trouble with Tanzanian government.
“Mama yangu hataki nifanye muziki na niendelee kuimba kwa sababu ya matatizo ninayokutana nayo katika kazi zangu kwa sababu mara ya mwisho nilipokamatwa baada ya kutoa Wimbo wa Wapo ndiyo alinikataza, aliniambia niachane na muziki nifanye shughuli nyingine maana nitakuja kufa siku si zangu,” he said
The singer however went against his mother’s advice and released his song without a word to his mum.
In a recent interview he disclosed that he composed, recorded and filmed the song without his mother’s knowledge.
“Kiukweli nilifanya siri sikumueleza mama yangu kuhusu ule wimbo na mpaka natengeneza video yake sikumwambia lakini nilipokuwa studio nikawaza tu kwamba kuimba nyimbo za aina hii mama alishanikataza, huwa ananiambia niache kabisa kuimba kwa kuwa mimi nina watoto wananitegemea na familia kwa ujumla.” he added
His mother however heard the song on the airwaves and calling him ranting but the singer managed to calm her down.
“Kwa kuwa nimlificha aliisikia mtaani akanipigia simu na kuniambia niende nyumbani, nilienda pale na kumkuta akinisubiri kwa hamu sana ili kuniuulizia kwa nini nimerudia tena kuimba? Ikabidi nimueleweshe tu sikuwa na jinsi akanielewa,” he said
Last year the singer found himself on the wrong side of the law after he released a song that allegedly insulted Tanzanian president, Magufului.
The post NAY WA MITEGO REVEALS WHY HE HID HIS LATEST SONG FROM HIS MUM appeared first on GhettoRadio 89.5 FM.